Nakaaya
leo hii alikuwa kwenye interview ndani ya XXL, katika mengi
aliyoyaongea, moja ni kuhusu kurudisha kadi ya Chadema na kuhamia CCM.
"moja kati vitu ninavyojutia ni kurudisha kadi ya Chadema na kuingia
CCM, najua nimebugi, lakini sio kama watu wanavyoongea kuwa nilipewa
hela, kama nilipewa hela si saa hii ningekuwa nakula bata, lakini wapi!
mi sijapewa hela.wanajuaje je kama nilitishiwa au vitu vingine kama
hivyo..najua hapo nilibugi.Niliingia kwenye siasa kwasababu ya ushawishi
wa watu, na nilishawishika kwasababu ya wimbo nilioutoa wakati hui "Mr
Politician"
WENYEVITI WA BODI /BODI ZA SEKTA YA UCHUKUZI SIMAMIENI MIRADI NA
KUHAKIKISHA INAKAMILIKA KWA MUDA NA KWA UBORA UNAOSTAHILI.
-
Na. Vero Ignatus, Arusha
Serikali imesema kuwa idadi ya mizigo inayopita Bandari ya Dar -es -salaam
kwenda nchi nyingine imeongezeka kutoka tani Million 5....
2 hours ago
No comments:
Post a Comment