KIKAO
CHA BODI YA CHUO KIMEKAA LEO NA BODI IMETOA MAAGIZO YA AWALI KWA
UTAWALA WA CHUO AMBAYO YATATANGAZWA KWA KUPITIA WEBSITE HII,, WEBSITE
YA CHUO ,WEBSITE YA SERIKALI YA WANAFUNZI NA MAGAZETI ,PITIENI MITANDAO
HII MARA KWA MARA ILI UWEZE KUPATA TAARIFA YA UHAKIKA NA MAPEMA
ZAIDI,MTAARIFU MWENZIO PINDI UPATAPO TAARIFA HII
WAJUMBE WA BODI YA KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA WASILISHENI MAPENDEKEZO
YATAKAYOLETA TIJA KWA TAIFA-MHE.SIMBACHAWENE
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza wakati wa kikao cha uzinduzi wa
Bodi...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment