Na hii ndio Dubai ya mwaka 2013....Tizama mji unavyopendeza,..... Unajua kwanini wameweza hivi...?kutokana na ulipwaji wa kodi na rushwa kwao ni adui namba moja kabisa....wameweza kujimudu kwa ilo na kuwajibishwa kiongozi yoyote atakaekiuka maadili na sheria za nhi hiyo ya kiarabu inayotawaliwa na mfalme.... |
No comments:
Post a Comment