Waziri
wa Afya Juma Nuni Haji akiwa na viongozi mbalimbali, Makanda wa
Polisi katika picha ya pamoja na walioacha kutumia madawa ya kulevya
huko Meya katika madhimisho ya siku ya upigaji vita matumizi na biashara
haramu ya madawa ya kulevya Duniani Jun 26.
Picha na Makame Mshenga- Maelezo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment