Kwa taarifa tulizopata ambazo siyo rasmi zinasema kuwa bakhresa atakuja na king'amuzi chake ambacho kitauzwa
Tshs.30000 na utalipia Tshs. 2000 kwa mwezi.Ina channel 100+. Mwenye
habari zaidi atujuze.
MHESHIMIWA PINDA AWASILI GABORONE KUONGOZA MISHENI YA UANGALIZI YA UCHAGUZI
YA SADC NCHINI BOTSWANA
-
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Kayanza
Peter Pinda amewasili jijini Gaborone, Botswana tarehe 19 Oktoba, 2024.
Mhe. Mi...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment