Bakhresa kuja na king'amuzi chake!! malipo kwa manunuzi ni 30.000tsh na kwa mwezi ni shilingi elfu mbili
Kwa taarifa tulizopata ambazo siyo rasmi zinasema kuwa bakhresa atakuja na king'amuzi chake ambacho kitauzwa
Tshs.30000 na utalipia Tshs. 2000 kwa mwezi.Ina channel 100+. Mwenye
habari zaidi atujuze.
No comments:
Post a Comment