T.I.D mkali wa long time kwenye bongoflava
tangu enzi za Zeze, Siamini hadi leo hii na Kiuno na bado anamiliki
headlines, wiki kadhaa zilizopita baada ya kumaliza msiba wa mshikaji
wake Mangwea, alisafiri kwenda U.K kufanya show ambako huko pia ndio
alifanya interview inayozungumziwa sana hivi sasa
kwenye mitandao pale alipokiri hadharani kwamba huwa anavuta bangi,
zifuatazo ni pichaz za jinsi Mzee mnyama T.I.D akiwa kwenye mitaa
mbalimbali ya U.K
![1](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_v-iiXfF-JhzAJj_XYDP1tDukTUziGBoz5F1LcG9Es69fHOFHcMdSDXICZDi1O-1K_L3At5Cx55wVyvmsBFszAf59dQAbZiLd-he7oC0Lqhr-avdfkRpKn-3yo_=s0-d)
JUMANNE YA KUPIGA PESA NA UEFA HII HAPA.
-
LIGI ya mabingwa barani Ulaya, UEFA leo hii kupigwa mechi za Play-off
ambapo wewe sasa nafasi ya kupiga mkwanja wa maana upo. Weka timu zako za
ushindi n...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment