Pages

Monday, July 1, 2013

RAIS BARACK OBAMA AWASILI NCHINI MCHANA HUU TAZAMA HAPA



 Rais Barack Obama wa nchini Marekani na Mkewe Michelle Obama wakiwa sambamba na watoto wao,wakiwasili mchana huu kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere,jijini Dar es Salaam mchana huu kwa ziara ya siku mbili hapa nchini.
 Ndege ya Rais wa Marekani ikiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere,mchana huu.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mgeni wake Rais wa Marekani,Barack Obama aliewasili nchini Mchana huu kwa ziara ya kikazi ya Siku mbili.
Rais Barack Obama akikwagua Gwaride maalum alilioandaliwa akiongozwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi,Jenelari Davies Mwamunyange.
 Rais Barack Obama na Mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete wakiangalia ngoma za asili zilizokuwa zikitumuiza uwanjani hapo.kushoto ni Mke wa Rais wa Marekani,Michelle Obama.
 Rais Barack Obama akiagana na Mama Salma Kikwete
Msafara wa Viongozi ukiondoka Uwanja wa Ndege.

Picha zaidi zitawajia baadae kidogo,kwa sasa tuanze na hizi kwa hisani ya TBC.Kupitia Kwa Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment