Pages

Friday, July 5, 2013

RAIS MSTAAFU ALHAJI ALI HASSAN MWINYI AWASILI LEO HII JIJINI WASHINGTON DC MAREKANI, KAMA MGENI RASMI WA TAMASHA LA KISWAHILI NCHINI MAREKANI


 Rais Mstaafu Mhe. Alhaji Ali Hassan Mwinyi akiwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles.
 
Rais Mstaafu Mhe. Alhaji Ali Hassan Mwinyi akiwa ameambatana na Mkewe mama Siti Mwinyi, mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles.

Na Alex Kassuwi/Swahili TV
 
Rais Mstaafu Mhe. Alhaji Ali Hassan Mwinyi awasili leo hii katika jiji la Washington DC, Marekani, ambapo atakuwa mgeni rasmi katika tamasha la kukienzi na kukikuza kiswahili nchini  Marekani. Tamasha hili ambalo limeandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani litafanyika kesho kutwa siku ya Jumamosi tarehe Julai 6, 2013 katika Ukumbi wa mikutano wa Hampton uliopo katika Jimbo la Maryland.
 

Kutoka kushoto, Afisa Ubalozi Bw. Suleiman Saleh, Mama Siti Mwinyi, Rais mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Kaimu Balozi Bi. Lily Munanka, mara baada ya kumpokea Mgeni Rasmi katika Tamasha la Kiswahi chini Marekani litafanyika kesho kutwa siku ya Jumamosi tarehe Julai 6, 2013 katika Ukumbi wa mikutano wa Hampton uliopo katika Jimbo la Maryland.

 
Picha kutoka kuchoto; Mkurugenzi wa Swahili TV Bw. Alex Kassuwi. Mama Siti Mwinyi, Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi na Kaimu Balozi Bi. Lily Munanka, mara baada ya kumpokea Rais Mstaafu Mwinyi.
 

Gari lililombeba Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi lilikielekea katikati jiji la Washingston DC, Marekani, leo hii Julai 4, 2013
Msafara wa  Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi ukielekea katikati jiji la Washingston DC, Marekani, leo hii Julai 4, 2013
 

Hoteli alikofikia  Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi katika jiji la Washingston DC, Marekani, leo hii Julai 4, 2013
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan akipokelewa na mtoto aliyempa ua katika hoteli yake Washingston DC, Marekani, leo hii Julai 4, 2013

Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi mara baada ya kuwasili katika hoteli yake Washingston DC, Marekani, leo hii Julai 4, 2013
 
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi akiongea na wenyeji wake mara baada ya kuwasili katika hoteli yake Washingston DC, Marekani, leo hii Julai 4, 2013
 

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bw. Iddi Sandali  akiwa na Kaimu Balozi Bi. Lily Munanka
 

Emmanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji akiwa na Mkurugenzi wa Swahili TV Bw. Alex kassuwi katika Hoteli alikofikia

Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
 
 
Shilole akiwa na Mkurugenzi wa Swahili TV Bw. Alex kassuwi  katika Hoteli alikofikia

Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi leo hii Julai 4, 2013

 
Dr. Amour Mwinyi akiwa na mdau katika Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
 

 Bi. Mindi Kasiga, Afisa habari wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani akiwa na Mkurugenzi wa Swahili TV Bw. Alex kassuwi katika Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
 
Msanii Shilole akiwa na wadau waliokuja kumpokea 
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi leo hii Julai 4, 2013 katika Hoteli yake.

 Mfanyakazi wa Ubalozi Bw. Eliud Mbowe  akiwa na Mkurugenzi wa Swahili TV Bw. Alex kassuwi katika Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani leo hii Julai 4, 2013
 
 Bi. Asha Nyang'anyi akiwa na wadau  katika Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
 
 Wadau waliofika katika Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
 
 Masanja akiwa na shabiki wake katika Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi leo hii Julai 4, 2013

No comments:

Post a Comment