Mafundi
wa DAWASCO wakizibua chemba ya maji taka iliyokuwa imeziba na kumwaga
maji katika mzunguko wa Bandari Klabu jijini Dar es Salaam leo. Chemba
hiyo ilikuwa ikitema maji hayo kwa siku kadhaa bila marekebisho.PICHA NA MROKI
DC KARATU AIPONGEZA CARMATEC KWA KUSAMBAZA MASHINE KWA WAKULIMA KARATU.
-
Ferdinand Shayo ,Arusha.
Mkuu wa Wilaya ya Karatu Dadi Kolimba amekipongeza Kituo cha Zana za Kilimo
na Teknolojia vijijini (CAMARTEC) kwa kusambaza t...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment