Yalikuwa ni
majira ya usiku wakati Hemedy PHD anamrudisha mshkaji wake Gelly wa
Rhymes home kwake Sinza ndipo mshkaji wakati anarudi kwake ndipo
ikatokea hii ajali mbaya kwa kugonga kalivati lililopo pembeni ya mtaro
hapa maeneo ya Kijitonyama Kisiwani. Hemedy ameumia kwenye paja na
kifuani ambapo staring ilimbana, kwa sasa bado yuko hosp anaendelea na
matibabu.CHANZO BONGO CLANTZ
KAMATI TENDAJI YA MRADI WA SOFF YAKUTANA KUIDHINISHA MPANGO KAZI WA
UTEKELEZAJI WA MRADI TANZANIA.
-
Na Mwandishi wetu Michuzi Tv
KAMATI Tendaji ya Utekelezaji wa Mradi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa
Kuimarisha Uangazi wa Hali ya Hewa (SOFF) umekutana ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment