Gazeti la Jamhuri limeendelea kutaja majina ya wauza unga wiki hii likija na majina na matatu na makazi ya wahusika. Wapo waliotajwa kwa namba za magari yao.
Yapo majina 240, wako wahusika kutoka nchi za nje, lakini zaidi ya 95% ni watz
Miongoni mwao wamo Mdogo wa Rostam Azziz, aitwaye Assad Azziz (No 23 kwenye list) na mtoto wa Amatus Lyumba aliyekuwa BOT, Morine Amatus Lyumba(No 66 kwenye list).chanzo jamii forum
Nimeyascan majina kutoka kwenye gazeti hapa chini:
MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA SI YA TAKUKURU PEKEE-MAJALIWA
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa mapambano dhidi ya rushwa si
jukumu la TAKUKURU pekee bali kila Mtanzania anapaswa kushiriki kikamilifu
kusimamia ...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment