Diamondi apost picha katika instagram ambayo alipiga akiwa na mkali wa
miondoko ya HIP HOP ajulikanae kama R.O.M.A mkatoliki ikionyesha KIDOLE
cha kati kuhashilia kuwatukana waitazamayo hiyo picha na sijui ni
kuwatukana mashabiki wake au vipi ila inareportiwa awakera mashabiki
zake na wamemtaka aiondoe mtandaoni mara moja na kuwataka radhi kwa kile
kilichodaiwa kuwa ni kujivunjia HESHIMA yake kwa kasi sana pasipo yeye
kujijua nini anakifanya.....
GCLA YASISITIZA USALAMA WA RANGI DHIDI YA SUMU ITOKANAYO NA MADINI YA RISASI
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) kupitia kituo chake
cha kudhibiti matukio ya sumu, kimewataka wazalish...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment