|
Mkurugenzi wa Biashara wa Timu ya
Sunderland ya nchini Uingereza Gary Hutchinson (wa pili kutoka kulia) akiongea
na waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam juu mazungumzo ya awali
ya timu hiyo kuanzisha ushirikiano na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia
Bodi ya Utalii na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa ajili ya
kutangaza utalii wa Tanzania nchini Uingereza na vilevile kuendeleza michezo
hapa nchini.Wengine katika picha ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo
Leonard Tadeo(kushoto) , Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi
ya Utalii Dkt. Alyoce Nzuki(wa pili kutoka kushoto) na Mwakilishi wa timu ya
Sunderland hapa nchini Edmund Hazzal (kulia).
|
No comments:
Post a Comment