BAADHI YA TASWIRA YA WARSHA YA WADAU WA SEKTA YA NISHATI
Baadhi
ya washiriki wa warsha ya pamoja kwa wadau wa sekta ya nishati
wakimsikiliza Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eliakimu Maswi
(hayupo pichani) wakati akifungua mkutano wa saba uliofanyika leo
katika Hoteli ya Hyatt Regency iliyopo jijini Dar es Salaam. Serikali
imekamilisha utafiti katika vituo 52 vya kutoa umeme wa joto ardhi
(geothermal) na ifikapo mwakani uchimbaji wa umeme huo utaanza katika
vituo vitatu vilivyopo katika mkoa wa Mbeya, wilaya ya Rufiji na katika
ziwa Natroni lililo mkoani Manyara.
No comments:
Post a Comment