Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, October 2, 2013

MADHARA MA 5 YA KUTUMIA PAMBA KUSAFISHIA MASIKIO/ EAR STICK

 
1. Kwanza husukuma ndani zaidi uchafu
 sikioni(ear wax),ule utando unaotoka ndani
ya sikio.
Unapochokonoa sikio kwa pamba huupeleka
uchafu kuingia ndani zaidi ya sikio, hii
husababisha vijidudu kushambulia kuta za
ndani ya sikio na ngoma ya sikio, hupelekea
mtu kutosikia vizuri.

2. Pia kutumia pamba kusafishia sikio
huatarisha kutokwa damu masikioni.
Unaposukuma ndani zaidi pamba kwenye
kuta za sikio ni ngozi laini, unaweza kuona
viti damu kwenye pamba, hii hutokana na
pamba kukwangua kuta za sikio lako.

3. Kutoka maji maji yanayowasha au usaha
sikio.
Hizi pamba huweza kubakia sikioni na ikikaa
kwa muda mrefu itakuwa inazuia uchafu wa
sikio kutoka,pia kuharibu ngoma ya sikio,
huu
utando unaotoka sikioni kazi yake kulinda
sikio lisishambuliwe na vijidudu(bacter ia) na
uchafu mwingine unaoingia sikioni kama
vumbi, pamba ikiziba huchafu hautoki
kuweza kuoza na kutoa maji maji(usaha) na
sikio kuwasha.
zaidi soma hapa http://manyandahealthy.blogspot.com
 

No comments:

Post a Comment