Kwa muda
mufupi sikupatikana kwenye mutandao wa facebook na kwenye simu, sababu
nilikuwa mahali hakuna network, kwa sasa nimefika mahali kuna network,
Mutaanza pata habari kwa wakati. hatukupigana, tulijitosha katika maeneo
zetu bila kupigana, silaha zetu zote tulienda nazo hakuna yenye
tuliaca. Ingelukuwa tulikimbiya hatugepata wakati ya kubeba bitu yetu.
sasa mutu mwenye anayuwa fanya analyse, aifanye sasa. 1 kwa nini
tilijitosha mumaeneo yetu bila kupigana? 2 Tulienda wapi? 3 Tutabakiya
kwenye tulienda ama tutarundi, 3 Mbone FARDC haitufwate kwenye tuko? 4
kwa nini Kabila ameitika kuya zungumuza na japo kuwa alisha tushinda?
Mwenye kicwa yake haitumike muzuri njo anaeza fanya fete eti M23
imeshindwa. Kwa marafiki, tuko tena tuko. Twasubiri kyenye kitatoka
Kampala kwenye mazungumuzo, kama hakuna kizuri kinatoka huko. Na FARDC
FDLR, NA MONUSCO inasubutu kuanza Vita tena, PALE MUTAJUWA SISI NI
WANANI. — at Bunagana, Democratic Republic of the Congo.
WAZIRI WA NISHATI ZANZIBAR AIPA KONGOLE REA
-
-AISISITIZA KUENDELEA NA UHAMASISHAJI
-REA YAELEZEA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NA
USAMBAZAJI WA UMEME VIJIJINI
Waziri wa Maji, Nisha...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment