Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed 'TID' yupo
mahabusu katika Kituo cha Polisi Oysterbay tangu jana usiku baada ya
kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi msichana
anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake, Mariam Nnauye.CHANZO GPL
MNH MLOGANZILA YAIMARISHA HUDUMA ZA MAGONJWA YA UBONGO NA MISHIPA YA FAHAMU
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imeanzisha kitengo maalum kwa
wagonjwa wa kiharusi ili kuhakikisha wagonjwa wa kiharusi wanapata huduma
stahiki k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment