Picha na MaktabaWATU wawili wamekufa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya basi waliolokuwawakisafiria la Simiyu Express kupinduka katika eneo la Ihumwa nje kidogo yamanispaa ya Dodoma.za usajili T 717 ANL aina ya scania basi lilikuwalikiendeshwa na dereBasi hilo lenye namb ava aliyetambulika kwa jina la Mramba Issa (31).nda wa Polisi mkoani hapa Susan Kaganda, alisema kuwa basi loAkizungumza na waandishi wa habari leo, Kaimu Kam a lilikuwa linatokeaBariadi kwenda Dar es salaam likiwa na abiria 60 liliacha njia na kupinduka tisa usiku katika barabar kutokana na mwendo kasi .Kamanda alisema kwamba ajali hiyo ilitokea leo alfajiri majira ya saa a ya Dodoma-Dar es salaam eneo la Elshadai . Kamanda Kaganda aliwataja waliofariki katika ajali hiyo kuwa ni pamoja nakolo, Bariadi. Aidha kamanda akizungumzia zaidi ajali hiyo alisema kwamdereva wa basi hilo Mramba Issa mkazi wa Magomeni Dar es salaam na Frola Erenest(21) Mwali wa shule ya msingi Mwamoto kol oba basi hilo lilikuwa likiwakwepa askari wa barabarani kwa kupita njia za panya. Alifafanua kuwa kwa basi hilo kusafiri usiku huo ni kukwepa askari .Aliwataka pia wamiliki wa magari kuweka madereva wawili kwa magari yamasafa marefu na pia wazingatie sheria za barabarani.
Sakata la Mwigizaji Maarufu nchini na familia ya Baba wa Taifa Mwalimu
Nyerere lachukua sura mpya
-
SAKATA LA MWIGIZAJI MAARUFU NCHINI Steve Nyerere na familia ya Baba wa
Taifa Mwalimu Nyerere lachukua sura mpya baada ya wazee wa kanda ya ziwa
kuingilia...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment