Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, December 14, 2013

Waziri wa Nishati na Madini akutana na Ujumbe kutoka Benki ya Dunia kuzungumzia Masuala ya Gasi



unnamed_3d3fb.jpg
Waziri wa Nishati na Madini Mhe.Profesa Sospeter Muhongo,Baadhi ya Wajumbe kutoka Benki ya Dunia wakichangia taarifa iliyowasilishwa kuhusu masuala ya Gasi wakati wa kikao baina yao
unnamed_1_539c6.jpg
Bw. Albert Zeufack Mtaalamu toka Benki ya Dunia akiwasilisha taarifa ya kuhusu Masuala ya Gasi
unnamed_2_7faaf.jpg
Kamishna Msaidizi anayesimamia masuala ya Gasi Asilia Engineer Nobert Kahyoza akitoa ufafanuzi wakati wa kikao hicho
unnamed_3_eb8ec.jpg
Kamishna Msaidizi anayesimamia Maendeleo ya Nishati Bw. James Andikile akisisitiz ... hicho katikati ni Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Profesa Sospeter Muhongo
Picha na ( Asteria Muhozya - Nishati na Madini)


No comments:

Post a Comment