Mkurugenzi
wa mashindano wa TFF Saidi kawemba amesema ‘tumekubaliana kabisa kwamba
kila mtu ataleta timu yake ya kwanza na kushindwa kufanya hivyo kuna
adhabu zake tumekubaliana, wakati huu tunaamini kila club inafanya
jitihada za kusajili na kuleta vifaa vyake vinavyoaminika kuwa vizuri,
tunasubiri hiyo December 21 tuone’
NGORONGORO YATANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA WASHIRIKI WA ROMBO MARATHON.
-
Na Mwandishi Wetu, Rombo.
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeshiriki katika tamasha la _Rombo
_Marathon_ lililofanyika leo tarehe 23 Desemba 202...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment