Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, January 14, 2014

200 wafariki wakitoroka vita S.Kusini


Zaidi ya watu 200 raia wa Sudan Kusini wamezama katika ajali ya ferry kwenye mto Nile wakikimbia vita vinavyoendelea katika mji wa Malakal.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa msemaji wa jeshi la Sudan Kusini.
Taarifa zaidi zitakujia hivi punde

No comments:

Post a Comment