Picha
ya pamoja ya Makatibu wa Bunge wa Nchi za Jumuiya ya Madola (Afrika)
pamoja na maafisa waandamizi wakati wa Mkutano wa Kamati ya Utendaji
Jijini Dar es Salaam. Lengo la Mkutano huu ni kuandaa Mkutano Mkuu wa
Umoja wa Makatibu wa Bunge wa Jumuiya ya Madola (Afrika) utakaofanyika
nchini Kenya mwezi Juni, 2014. (Picha na Prosper Minja – Bunge)
Walimu 1500 wa Mkoa wa Singida wafikiwa na Kliniki ya Samia
-
Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendegu akizungumza na viongozi wa Chama cha
Walimu Tanzania (CWT) mara baada ya kufungua Kliniki ya Samia ya kutatua
chang...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment