Pamoja na misukosuko yote ya ligi na vikombe tofauti bado club ya manchester united imeendelea kupata mashabiki wa kutosha toka kila kona ya dunia.mpaka kufikia jana Manchester united ilikuwa imefikisha mashabiki milioni 39 katika mtandao wa facebook.
PINDA APOKEA TAARIFA YA MAANDALIZI YA UANGALIZI WA UCHAGUZI NCHINI BOTSWANA
-
Mkuu wa Misheni ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ya
Uangalizi wa Uchaguzi Mkuu nchini Botswana (SEOM) Mhe. Mizengo Pinda
ameongoza kikao ch...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment