Maulid ya Hom yaliyosomwa na Vijana kutoka Mtendeni Mjini Unguja katika viwanja vya Mnazi mmoja jana, wakati wa Maulidi Matukufu ya kuzaliwa kwa Bwana Mtume (SA.W.) yanayofanika kila mwaka Kitaifa na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali pamoja wananchi kutoa kila upende wa Nchi.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Baadhi ya Viongozi wa Srikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na mashekhe
waliohuduria katika Maulidi ya kuzaliwa Bwana Mtume (S.A.W.)
yaliyofanyika jana katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja.[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI(USIPITWEEEEEEEEEE)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Sheikh Sherali Champsi Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Maulidi ya kuzaliwa Bwana Mtume (S.A.W.) alipowasili katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja palipofanyika Maulid hayo jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa na Viongozi wengine (kutoka kushoto) Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilali,Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, na (kulia) makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi,wakiwa katika Maulidi ya kuzaliwa Bwana Mtume (S.A.W.) yaliyofanyika jana katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiteta jambo na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi katika Maulidi ya kuzaliwa Bwana Mtume (S.A.W.) yaliyofanyika jana katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa na Viongozi wengine wakisimama kumswalia Mtume (S.A.W.) wakati wa Maulidi ya Kusherehekea siku ya Kuzaliwa Bwana Mtume katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Wake wa Viongozi na wanawake kutoka madarasa na vyuo mbali wakiongozwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein wakiwa katika Viwanja vya Mnazi mmoja Mjini Unguja katika Maulid ya Kuzaliwa kwa Bwana Mtuyme (S.A.W.).[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Wanafunzi wa Madrasatul Muntaha Kalam kutoka kijiji cha Ukongoroni Wilaya ya kati,wakisoma Yarabiswali wakati wa Maulidi ya Kusherehekea siku ya Kuzaliwa Bwana Mtume (S.A.W.) katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Wake wa Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakisimama kumswalia Mtume (S.A.W.) wakati wa Maulidi ya Kusherehekea siku ya Kuzaliwa kwake Mtume katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Sheikh Sherali Champsi Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Maulidi ya kuzaliwa Bwana Mtume (S.A.W.) alipowasili katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja palipofanyika Maulid hayo jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa na Viongozi wengine (kutoka kushoto) Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilali,Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, na (kulia) makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi,wakiwa katika Maulidi ya kuzaliwa Bwana Mtume (S.A.W.) yaliyofanyika jana katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiteta jambo na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi katika Maulidi ya kuzaliwa Bwana Mtume (S.A.W.) yaliyofanyika jana katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa na Viongozi wengine wakisimama kumswalia Mtume (S.A.W.) wakati wa Maulidi ya Kusherehekea siku ya Kuzaliwa Bwana Mtume katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Wake wa Viongozi na wanawake kutoka madarasa na vyuo mbali wakiongozwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein wakiwa katika Viwanja vya Mnazi mmoja Mjini Unguja katika Maulid ya Kuzaliwa kwa Bwana Mtuyme (S.A.W.).[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Wanafunzi wa Madrasatul Muntaha Kalam kutoka kijiji cha Ukongoroni Wilaya ya kati,wakisoma Yarabiswali wakati wa Maulidi ya Kusherehekea siku ya Kuzaliwa Bwana Mtume (S.A.W.) katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Wake wa Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakisimama kumswalia Mtume (S.A.W.) wakati wa Maulidi ya Kusherehekea siku ya Kuzaliwa kwake Mtume katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
No comments:
Post a Comment