Viongozi
wakuu wa jumuiya za Watanzania Italy katika picha ya pamoja baada ya
kusimamia kuaga mwili wa Mtanzania marehemu MAULIDI HAMIDI ABDALLAH
tayari kusafirishwa kupelekwa nyumbani Tanzania kwa mazishi. Kutoka
kushoto ni Mh. Kagutta N.M (katibu mkuu wa Jumuiya ya
Watanzania Italy) anaefuata ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Rome
Mh. ERASMUS PINDU LUHOYA na anemfuata ni Mh ABDULRAHAMAN A.ALLI
(mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Italy) na wa mwisho kulia ni
Katibu wa Jumuiya ya Watanzania Rome Mh. ENDREW C.MHELA
|
No comments:
Post a Comment