Pages

Sunday, January 19, 2014

PONGEZI: Charles Boniface Mkwasa na Betty Mkwasa kwa kutimiza miaka 25 ya ndoa yenu


mkwasa napenda kuchukua fursa hii kuwatakia kila lakheri Bw. Charles Boniface Mkwasa, ambaye ni kocha maarufu nchini, pamoja na bi. Betty Mkwasa, mwanahabari mkongwe na hivi sasa mheshimiwa Mkuu wa wilaya, kwa wawili hao kuadhimisha miaka 25 ya ndoa yao.

No comments:

Post a Comment