Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, February 4, 2014

BARAZA LA MADAWA NCHINI LIMETOA ONYO KWA WAMILIKI WA MADUKA YA DAWA YOLIYO FUNGWA NA BARAZA HILO KUACHA MARA MOJA KUUZA DAWA HIZO KINYEMELA.


Akizungumza na Dodoma fm mratibu wa mpango wa maduka ya dawa  Bwana Richard Selube amesema kwa yeyote atakae gundulika kuwa amefungiwa duka lake  la dawa lakini   bado anauza dawa hizo atachukuliwa hatua kali.Aidha bwana Selube amesema malengo ya baraza la dawa yalikuwa ni kupandisha hadhi maduka yanayo kidhi vigezo na kuyafunga maduka yote yasiyo na vigezo pamoja na kuyapokonya dawa.Sanjari na hayo ameongeza kuwa baraza la dawa  linatoa dawa ambazo hazistahili kuwepo katika maduka ya dawa na kuzikabidhi zote katika manispaa husika.na dodoma fm

No comments:

Post a Comment