Baada
ya pacha wake kufunga ndoa, hivi sasa ni zamu ya Paul Okoye ambaye
amefunga ndoa ya kimila na mchumba wake wa muda mrefu Anita Isama.Paul
na Anita wana mtoto wa kiume na harusi yao imehudhuriwa na watu kama
Omotola,D Banj,Naeto C,Banky W,Ini Edo,Iyanya na wengine wengi.
KADA WA CHADEMA AFUNGIWA MIEZi 6 LESENI YA UDEREVA
-
NA DENIS MLOWE,IRINGA
JESHI la polisi kitengo cha usalama barabarani mkoa Iringa kimemfungia
leseni ya Udereva kwa kipindi cha miezi 6 kuanzia tarehe 7...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment