Pages

Thursday, April 24, 2014

Dkt. Shein Azungumza na Uongozi Wizara ya Miundombinu Mawasiliano

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara Miundimbinu na Mawasiliano katika Utekelezaji wa Mpango kazi wa robo mwaka kutoka Julai-Machi 2013/2014,ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Unguja leo asubuhi.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment