Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi ya kalenda kutoka kwa Msajili wa Baraza la Uuuguzi na Ukunga Tanzania Mama Lena Mfalila wakati alipokutana na uongozi wa baraza hilo Ikulu jijini Dar es salaam leo April 29, 2014. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Seif S. Rashid.Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya kumbukumbu na viongozi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania alipokutana nao Ikulu jijini Dar es salaam leo April 29, 2014. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Seif S. Rashid
KATIBU WA SUKI RABIA "KILICHOFANYWA NA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU HAKIJAVUNJA
KATIBA YA CHAMA"
-
NA WILLIUM PAUL, ROMBO.
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi na Katibu wa Nec Siasa na
Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia Hamid amesema kuwa kilic...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment