Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, April 25, 2014

RAIS KIKWETE AKILIHUTUBIA TAIFA MDA MCHACHE ULIOPITA KUTOKEA UKUMBI WA PTA SABASABA

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Taifa kupitia mkutano wa Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) baada ya kupokea maandamano yao leo katika ukumbi wa PTA katika viwanja vya SabaSaba jijini Dar es salaam muda huu. Matangazo haya yanarushwa moja kwa moja na Kituo cha TBC. 
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Taifa kupitia mkutano wa Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) baada ya kupokea maandamano yao leo katika ukumbi wa PTA katika viwanja vya SabaSaba jijini Dar es salaam muda huu. Matangazo haya yanarushwa moja kwa moja na Kituo cha TBC. 
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye Mkutano huo.
CHANZO MTAA KWA MTAA BLOG

No comments:

Post a Comment