Balozi
wa Tanzania nchini Marekani Mhe. (Riberata Mulamula kulia)akiwaongoza
ma afisa wa ubalozi Paul Mwafongo kushoto na Suleiman Saleh wa pili
kutoka kushoto kumpokea Naibu Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Lameck
Nchemba alipowasili leo katika uwanja wa kimataifa wa Dulles kwaajili ya
kuungana na Watanzania waishio nchini Marekani katika maazimisho ya
miaka 50 ya sherehe ya muungano.
MKurugenzi wa USAID Tanzania atembelea miradi inayofadhiliwa na Marekani
mkoani Lindi
-
Mkurugenzi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) nchini
Tanzania, Craig Hart mwishoni mwa wiki alifanya ziara ya siku moja mkoani...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment