Ikumbukwe tarehe 26 may 1996, Nchi ya Tanzania ilipata pigo baada ya kufatiwa na tukio la kuzama kwa meli ya mv bukoba, ambapo tukio hilo lilisababisha kupotea kwa maisha ya watanzania wengi sana, mungu azilaze roho zaarehemu hao mahali pema peponi amin.
BANDARI YA MTWARA YAENDELEA KUPOKEA MELI ZAIDI ZINAZOLETA MAKASHA MATUPU
-
Bandari ya Mtwara imeendelea kupokea Meli zaidi zinazoleta makasha matupu
ambapo tarehe 27 Oktoba 2024 Meli ya MV LAKONIA ya Kampuni ya SINOTASHIP
(COSCO) ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment