Pages

Friday, June 6, 2014

WASANII WATAKAOPIGA SHOW KESHO KILI TOUR WAMEWASILI NDANI YA KAHAMA,TAZAMA PICHA 8 HAPA WAKIHOJIWA NA KAHAMA FM



Wasanii watakaopanda jukwaani katika Kilimanjaro Music Tour wamewasili mjini Kahama kwa ajili ya show. Wasanii hao ambao ni Shilole, Christian Bella, Madee, Mwana FA, AY, Rich Mavoko, Jambo Squad na Weusi wanatarajiwa kupanda jukwaani siku ya Jumamosi katika uwanja wa halmashauri ya Kahama kwa kiingilio cha Sh 2500. Mara baada ya kuwasili Mwana FA, AY, Rich Mavoko na Shilole walifanyiwa mahojiano na Kahama FM ambapo walielezea namna walivyojipanga kwa ajili ya show.

Ay na Mwana FA wakitaniana ndani ya Kahama FM leo
 Ay akiongelea show ya kesho ndani ya kahama Fm

 Shilole akiongea na mashabiki wake kupitia Kahama FM leo
Shilole na Ay wakipiga picha ya Pamoja ndani ya kahama FM

No comments:

Post a Comment