Pages

Friday, September 12, 2014

BREAKING NEWS: MSIKITI WA MTAMBANI KINONDONI WAUNGUA TENA


Habari zilizotufikia ni kwamba Msikiti wa Mtambani uliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam unateketea kwa moto hivi sasa. Hii ni mara ya pili msikiti huo kutetekea kwa moto baada ya kuungua Agosti 13 mwaka huu. Habari zaidi zitawajia hivi punde.

No comments:

Post a Comment