Pages

Friday, September 12, 2014

HOT NEWSSS::MWARIADHA OSCAR PISTORIUS HATIANI KWA KUUA BILA KUKUSUDIA,TAZAMA PICHA JINSI ILIVYOKUWA MAHAKAMANI

 Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya.
Akitoa uamuzi wake jaji Thokozile Masipaal alisema kuwa mwanariadha huyo alimuua Reeva kwa bahati mbaya alipofyatua risasi kupitia kwa mlango wake wa choo akiwa katika hali ua mshtuko akidhani kuwa jambazI alikuwa amevamia nyumba yake.


Alisema kuwa upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha kuwa Pistorius alinuia kumuua Steenkamp nw akutekeleza mauaji hayo kwa kusudi.
Pia alipatikana na hatia ya kosa la kutumia silaha yake visivyo alipokwenda mgahawani.
CHANZO: BBC SWAHILI
 


No comments:

Post a Comment