Basi la kampuni ya wibonela lililokuwa likitokea Kahama kuelekea jijini Dar esalaam limepinduka asubuhi hii maeneo ya Phantom kahama baada ya dereva wa basi hilo kushindwa kulimudu basi hilo lilipofika katika kona ya Phantom mjini kahama
likiwa katika mwendo kasi, bado haijajulikana ni watu wangapi wamepoteza maisha na kujeruhiwa katika ajali hiyo. Taarifa za awali kutoka kwenye tukio ambazo hazijathibitishwa na polisi zinadai watu wamefariki
KAMATI TENDAJI YA MRADI WA SOFF YAKUTANA KUIDHINISHA MPANGO KAZI WA
UTEKELEZAJI WA MRADI TANZANIA.
-
Na Mwandishi wetu Michuzi Tv
KAMATI Tendaji ya Utekelezaji wa Mradi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa
Kuimarisha Uangazi wa Hali ya Hewa (SOFF) umekutana ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment