Pages

Wednesday, November 12, 2014

BREAKING NEWSSS;;MSANII WA HIPHOP GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA

Geez mabovu enzi za Uhai wake
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba msaanii maarufu wa miondoko ya kufoka foka (hiphop) Geez Mabovu amefariki dunia huko mkoani  Iringa,Baba mdogo wa marehemu amethibitisha kutokea kwa kifo chake .Tutakuletea updates zaidi

No comments:

Post a Comment