Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi wakiangalia kwa mshangao gari aina ya Toyota Spacio, lenye namba za usajili, T111 BHW likiwa limepinduka chini juu mbele ya ofisi za TFA barabara ya Boma ,jirani kabisa na kipita shoto cha mnara wa saa ,Dereva wa gari hilo anadaiwa alikuwa akijaribu kuwakimbia askari wa kikosi cha barabarani kwa mwendo wa kasi kabla ya kugonga gari jingine na hatimaye kupinduka.hakuna aliepoteza maisha kwenye tukio hilo la ajali.
Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii kanda ya kaskazini
WAZIRI WA NISHATI ZANZIBAR AIPA KONGOLE REA
-
-AISISITIZA KUENDELEA NA UHAMASISHAJI
-REA YAELEZEA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NA
USAMBAZAJI WA UMEME VIJIJINI
Waziri wa Maji, Nisha...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment