AJALI hii imetokea asubuhi hii katika eneo la maghorofani
mkoani Mbeya baada ya basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca
Cola kugongana na gari aina ya Toyota Nadia. Katika ajali hiyo, Nadia
imeharibika vibaya kwa mbele.chanzo Gpl
BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA
KISHERIA IRINGA
-
Na Lusajo Mwakabuku – WyKS Iringa
Bodi ya Kitaifa ya Ushauri ya Msaada wa Kisheria ikiwa katika kikao kazi
cha Kumi kinachofanyika kwa siku mbili Mkoani Ir...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment