Mwakilishi wa Tanzania katika shindano la Miss World 2014, Happiness Watimanywa ambaye tayari yupo jijini London, alipata nafasi ya kufanyiwa mahojiano na kipindi cha runinga cha BBC Swahili kilichoruka jana (Nov.18). Tazama akihojiwa na mshindi wa Tuzo za Watu, Saleem Kikeke.
WENYEVITI WA BODI /BODI ZA SEKTA YA UCHUKUZI SIMAMIENI MIRADI NA
KUHAKIKISHA INAKAMILIKA KWA MUDA NA KWA UBORA UNAOSTAHILI.
-
Na. Vero Ignatus, Arusha
Serikali imesema kuwa idadi ya mizigo inayopita Bandari ya Dar -es -salaam
kwenda nchi nyingine imeongezeka kutoka tani Million 5....
11 hours ago
No comments:
Post a Comment