MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro ’Chid Benz’
leo amepandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini
Dar es Salaam kufuatia kesi yake ya kukamatwa na madawa ya kulevya kwenye
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Kesi ya staa huyo imeahirishwa
mpaka Januari 15, 2015 itakapotajwa tena.
WIZARA YA NISHATI KUJA NA MPANGO WA KUNADI VITALU VYA UTAFUTAJI WA GESI NA
MAFUTA NCHINI
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulia Mafuta na Gesi Dkt
James Mataragio akizungumza wakati alipofungua Kikao cha Pili cha Mkutano
wa Pil...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment