Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, December 26, 2014

WATU WAWILI WAFARIKI DUNIA BAADA YA AJALI KUTOKEA ENEO LA NZEGA

 Ajali iliyohusisha magari mawili imesababisha waliokuwa kwenye gari dogo kupoteza maisha maeneo ya Nzega, inaasemekana chanzo cha ajali ni speed ya gari dogo na mvua kubwa iliyokuwa inanyesha eneo hilo.

No comments:

Post a Comment