Sehemu ya ndani ya Klabu Olympia iliyopo eneo la Sinza Mori jijini Dar ikiwa imeteketea kwa moto leo alfajiri chanzo chake kikidaiwa kuwa ni hitilafu ya umeme.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgtjX11qKlSKXKRIhr9y0-ohWI1s-miSA_SpvxrPAg6RhyphenhyphenW6PDxXBPmvuzBK6tK-1MuEXe-2bCIqTeYBeZMULGhLBk0EQ_jTLHO2nYVjVS4dCYaF_nOF7_-LW_aYhlKIY-O8RQVShuPjToW/s1600/2.jpg)
Sehemu ya mlango wa kuingilia Klabu Olympia iliyopo eneo la Sinza Mori jijini Dar ukiwa umeteketea kwa moto.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQa2BUP_m1c8HNq5-vIWtc0GX-nOkefGyioUI2ZdsDbPgUYvlIYv22N_OhJFkUlOu2ZDuem32Yc4b9wltlQ563QbNY-SkfW1PcSPXiO1Rz86NG-9ZJ29HaF7KbHoJzyU0pEXmti_-Y5YcW/s1600/3.jpg)
Bw. Samwel Mwaisumbe ambaye ni mmiliki wa Klabu Olympia iliyopo eneo la Sinza Mori jijini Dar akizungumza na vyombo vya habari baada ya moto kuteketeza Klabu hiyo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiypFRGJFQhFlAmYNIML1WMjTFXH5HuZnKwg-ppTKVF5U-QJi9dl_2yEpgb2QXPrwkdD_os2ZVj_pej2gbX8mc4qJtvKufQciu0Na8ahekXbXWbdg_11b9q6w5MdtHJUjAWVwvLheqtkjhi/s1600/4.jpg)
Kamanda wa kikosi cha Zimamoto, J. K Mwasabeja akitoa ufafanuzi kuhusu moto uliotokea na jitihada walizozifanya wakati wa kuzima moto huo ilioteketeza Klabu Olympia iliyopo eneo la Sinza Mori jijini Dar.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnmpIhnF1sCduM_YDf9IYJ_AhQOQtR0hwwwGp9AFw96ypF1xqfY5N47ZpVyi0YPzHamytWE4wwAKwTrUUtDc-z-iYRW_8Hp2_b3xQ8jeYJ7I0leT89XrL1ahLajYAAYzTqG8jRJaMePGy7/s1600/16.jpg)
Baadhi ya wanachi wakishuhudia tukio hilo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjpEspf32FFpjExCsEJZRgmqxFYxQZDbUPBHij7d1IcvEhni7Rv1ay_TKiMqKSHRymQkOXlp6bEy2XKY9zpdBLHrvGMIyhqLxM5k4eGtpkJIvN8aWch8cfzb89G0ybPI31HS8qOMniRkW-d/s1600/5.jpg)
Askari wa Zimamoto wakiwa kazini
PICHA NA DAR ES SALAAM YETU
PICHA NA DAR ES SALAAM YETU
No comments:
Post a Comment