Habari zilizo zagaa mitaani n kwamba wamachinga wanasema
filam ambayo itatulipa ni JADA kwa sababu kila mteja wetu
anauliza jada
haijatoka tunawaomba hawa wasambazaji wawahi
kuitoa ili tupate pesa yaani daah
hiyo filam sijui ina nn alisema huyo machinga mtaani
No comments:
Post a Comment