Miaka minane, na baada ya kucheza kwa mkopo katika timu
sita, Gael Kakuta amekamilisha uhamisho wake kutoka Chelsea kwenda Sevilla ya
Spain. Kakuta kutoka Ufaransa alisaini Chelsea mwaka 2007.
KAYA 7,816 TANGA ZANUFAIKA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE
-
Na Oscar Assenga,TANGA.
'
Zaidi ya wananchi 20,000 kutoka kaya masikini mkoani Tanga wameanza
kunufaika na mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, unaolenga kub...
11 hours ago

No comments:
Post a Comment