Mbunge wa Ukonga Eugene Mwaiposa amefariki usiku wa kuamkia leo mjini Dodoma Bungeni,
Haijafahamika vema kama alikuwa anaumwa nini, lakini taarifa za awali zinasema, Amefia Rock Hoteli jirani na kituo
cha mafuta cha shabiby. Alilala vema hakuamka wahudumu wakaita polisi wakavunja mlango ndo kukuta kishatangulia mbele ya haki.
DKT. TULIA APONGEZA JITIHADA ZA ORYX GAS KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI
SAFI YA KUPIKIA
-
SPIKA wa Bunge na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Dkt.Tulia Ackson amesema
lengo la kuhamasisha watanzania kupikia nishati safi ni kuunga mkono
kampeni ya...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment