PICHA HUZUNI::::MCHUNGAJI MTIKILA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI
Mwanasiasa Mkongwe na Mwenyekiti wa Chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia mapema leo Asubuhi katika kijiji cha Msolwa,Chalinze mkoani Pwani mara baada ya kupata Ajali ya gari huku watu watatu wakijeruhiwa katika Ajali hiyo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani amethibitisha Ajali hiyo
Tutaendelea kuwajuza kadri taarifa tunavyozipata.
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi Amen
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment