Kikundi Cha kujitolea Nchini Nigeria kutoka Danish wamemsaidia kijana mdogo wa Kiume ambaye alikuwa ametelekezwa na Familia yake kwa takribani miezi 8 kwa Tuhuma za kwamba ni mchawi.Kikundi hicho cha misaada kilimchukua kijana huyo na kumpeleka hospitali nakuanza kupatiwa matibabu,na hatimaye kuanza kumlea.
Chanzo Daily Mail
Sakata la Mwigizaji Maarufu nchini na familia ya Baba wa Taifa Mwalimu
Nyerere lachukua sura mpya
-
SAKATA LA MWIGIZAJI MAARUFU NCHINI Steve Nyerere na familia ya Baba wa
Taifa Mwalimu Nyerere lachukua sura mpya baada ya wazee wa kanda ya ziwa
kuingilia...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment